• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala ya Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • KATIBU MKUU UJENZI AKAGUA UKARABATI NYUMBA ZA TBA DODOMA.

    tokea miezi 2
  • KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI ARCH. ELIUS MWAKALINGA ATEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA MAGOMENI KOTA

    tokea miezi 4
  • RAIS MAGUFULI AMKABIDHI NYUMBA RAIS WA AWAMU YA PILI MHE. ALI HASSAN MWINYI

    tokea miezi 4
  • WAKUU WA WILAYA ZA NYANG’HWALE NA BIHARAMURO WATEMBELEA BANDA LA TBA

    tokea miezi 5

Latest Press Release

KATIBU MKUU UJENZI AKAGUA UKARABATI NYUMBA ZA TBA DODOMA.

Imewekwa: Thursday 17, December 2020

KATIBU MKUU UJENZI AKAGUA UKARABATI NYUMBA ZA TBA DODOMA.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mbunifu Majengo Elius Mwakalinga ametembelea na kukagua ukarabati unaofanywa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika nyumba za Serikali mkoani Dodoma na kuridhika na maendeleo ya ukarabati huo.

Katibu Mkuu Mwakalinga, amekagua ukarabati katika nyumba za Serikali zilizopo eneo la Kisasa Jijini Dodoma. Akielezea ukarabati huo, Meneja wa TBA mkoa wa Dodoma, Mbunifu Majengo Victor Baltazar amesema, sehemu zinazofanyiwa ukarabati zinahusisha na kuondoa madirisha yaliyokuwepo na kuweka mapya, kupaka rangi, kujenga uzio, kurekebisha paa, mfumo wa maji safi na taka pamoja mazingira ya nje.

Aidha Katibu Mkuu Mwakalinga ameridhishwa na ukarabati huo unaoendelea katika eneo hilo la Kisasa na kuahidi kuendelea na ziara hiyo tena katika nyumba nyingine za ghorofa ambazo ukarabati wake unaendelea katika eneo la Area D.

TBA ilianza ukarabati wa nyumba za Serikali katika mkoa wa Dar es salaam, sasa Dodoma na zoezi hilo litaendelea katika mikoa mbalimbali nchini kuhakikisha kwamba nyumba hizo zinakuwa katika mazingira mazuri ya kuishi.

Mawasiliano yetu

Wakala Ya Majengo Tanzania
Opposite karimjee Hall,P.O.Box 9542 Dar es Salaam Tanzania
Nukushi : +255 22 2114143
Namba ya Simu : +255 22 2122163/ 2117114
Barua Pepe : ce@tba.go.tz/ barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2021 wakala ya majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania