• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala ya Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Tunafanya Nini
    • Dira na Dhamira
    • Mkataba wa Huduma
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • KIKAO CHA KUIAGA KAMATI YA UKAGUZI TBA

    tokea mwezi 1
  • KIKAO CHA KUIAGA KAMATI YA UKAGUZI TBA

    tokea mwezi 1
  • KIKAO CHA KUIAGA KAMATI YA UKAGUZI TBA

    tokea mwezi 1
  • Kikao cha Kamati ya Ukaguzi ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA ATEMBELEA MRADI UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA GEITA

Imewekwa: Saturday 15, August 2020

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Prof. Mabula Daudi Mchembe amefaya ziara ya kutembelea Mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita unaotekelezwa na TBA kama Mkandarasi na Mshauri Elekezi. Akiwa katika eneo hilo la Mradi amefurahishwa na jinsi TBA inavyoendelea na hatua za umaliziaji wa ujenzi wa baadhi ya Majengo katika eneo hilo.

Vile vile Prof. Mchembe aliongeza kusema kuwa ushirikiano uliopo kati ya Wizara ya Afya na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni mzuri hivyo kurahisisha utekelezaji wa mradi huu.

Aidha, Meneja wa TBA Mkoa wa Geita Mhandisi Gradys Jefta alieleza kuwa Ujenzi wa Hospitali hiyo umefikia asilimia 91% ya utekelezaji na kuahidi kuendelea na kazi za umaliziaji ili mradi huu uweze kukamilika kwa wakati na kuanza kutowa huduma kama ilivyopangwa.

Kwa upande wa Msimamizi wa Mradi Mbunifu Majengo Grace Elias alisema Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Geita unazingatia viwango vya ubora katika kila hatua ya utekelezaji. Aliongeza pia kuwa vifaa vyote vinavyotumika katika ujenzi vikiwemo nondo, zege, maji, mchanga na vingine huwa vinapimwa kabla ya kutumika ili kudhibiti viwango vya ubora wa jengo linalojengwa.

Mawasiliano yetu

Wakala Ya Majengo Tanzania
Opposite karimjee Hall,P.O.Box 9542 Dar es Salaam Tanzania
Nukushi : +255 22 2114143
Namba ya Simu : +255 22 2122163/ 2117114
Barua Pepe : ce@tba.go.tz/ barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

  • Barua pepe za Watumishi

Linki Linganifu

  • Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2021 wakala ya majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania