Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Ujenzi wa Nyumba ya Makazi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita

Imewekwa: 11 Machi, 2026
Ujenzi wa Nyumba ya Makazi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita

Taarifa za Mradi

Mshitiri/Mteja : Katibu Tawala Mkoa wa Geita (RAS) P.O. Box 315.

Gharama : Billion 1.5

Aina ya Mradi : Design and Build

Eneo / Mahali : Geita

Muda wa Mkataba : Miezi Arobaini na Nane


Taarifa zaidi za Mradi

Ujenzi wa Nyumba ya Makazi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita.