MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. PHILIP ISDOR MPANGO AKIFUATILIA WASILISHO KUTOKA KWA MTENDAJI MKUU WA TBA ARCH. DAUD KONDORO, WASILISHO LA MICHORO YA UBUNIFU WA JENGO LA HUDUMA YA MAMA NA MTOTO KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MWANZA SEKOU-TOURE WAKATI WA HAFLA YA UZINDUZI WA WA JENGO HILO SEPTEMBA 13, 2022.