Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Ujenzi wa nyumba 150 za makazi Awamu ya kwanza Eneo la Nzuguni Dodoma.

Imewekwa: 30 Desemba, 2025
Ujenzi wa nyumba 150 za makazi  Awamu ya  kwanza Eneo la Nzuguni Dodoma.

Taarifa za Mradi

Mshitiri/Mteja : Mtendaji Mkuu Wakala wa Majengo Tanzania S.L.P 94 Dodoma

Gharama : Billioni 14.37

Aina ya Mradi : Design and Build

Eneo / Mahali : Nzuguni Dodoma

Muda wa Mkataba : Mwaka Mmoja


Taarifa zaidi za Mradi

Mradi unahusisha ujenzi wa nyumba 150 za makazi zenye vyumba vitatu vya kulala kwa ajili ya kupangishwa.