Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Mradi wa Ujenzi wa Wodi na Radiolojia Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato – Awamu ya Pili

Imewekwa: 03 Julai, 2025
Mradi wa Ujenzi wa Wodi na Radiolojia Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato – Awamu ya Pili

Taarifa za Mradi

Mshitiri/Mteja : Katibu Mkuu Wizara ya Afya

Gharama : Tzs. 18.5 Billion

Aina ya Mradi : Design and Build

Eneo / Mahali : Geita

Muda wa Mkataba : Mwaka Mmoja


Taarifa zaidi za Mradi

Ujenzi wa Wodi  na Radiolojia Hospital ya Rufaaa ya Kanda ya Chato katika eneo la kiteta Chato Awamu ya Pili.