Mradi wa Ujenzi wa Wodi na Radiolojia Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato – Awamu ya Pili
Mradi wa Ujenzi wa Wodi na Radiolojia Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato – Awamu ya Pili
Imewekwa: 03 Julai, 2025
Taarifa za Mradi
Mshitiri/Mteja : Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Gharama : Tzs. 18.5 Billion
Aina ya Mradi : Design and Build
Eneo / Mahali : Geita
Muda wa Mkataba : Mwaka Mmoja
Taarifa zaidi za Mradi
Ujenzi wa Wodi na Radiolojia Hospital ya Rufaaa ya Kanda ya Chato katika eneo la kiteta Chato Awamu ya Pili.