Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi Awamu ya Kwanza katika eneo la Magomeni Kota, Dar es Salaam
Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi Awamu ya Kwanza katika eneo la Magomeni Kota, Dar es Salaam
Imewekwa: 22 Desemba, 2025
Taarifa za Mradi
Mshitiri/Mteja : Mtendaji Mkuu Wakala wa Majengo Tanzania S.L.P 94 Dodoma
Gharama : Billioni 52.1
Aina ya Mradi : Design and Build
Eneo / Mahali : Magomeni Dar es Salaam
Muda wa Mkataba : Miaka Mitano
Taarifa zaidi za Mradi
Mradi unahusisha Majengo 5 ya ghorofa za Makazi yanayochukua jumla ya Kaya 644.Unajumuisha nyumba za vyumba 3 vya kulala, vyumba 2 vya kulala na chumba kimoja cha kulala, zikiwa na huduma za pamoja kama vile lifti, viwanja vya michezo kwa watoto, maegesho ya magari na maduka ya biashara yaliyo karibu