Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi Awamu ya Kwanza katika eneo la Magomeni Kota, Dar es Salaam

Imewekwa: 22 Desemba, 2025
Mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Makazi Awamu ya Kwanza katika eneo la Magomeni Kota, Dar es Salaam

Taarifa za Mradi

Mshitiri/Mteja : Mtendaji Mkuu Wakala wa Majengo Tanzania S.L.P 94 Dodoma

Gharama : Billioni 52.1

Aina ya Mradi : Design and Build

Eneo / Mahali : Magomeni Dar es Salaam

Muda wa Mkataba : Miaka Mitano


Taarifa zaidi za Mradi

Mradi unahusisha Majengo 5 ya ghorofa za Makazi yanayochukua jumla ya Kaya 644.Unajumuisha nyumba za vyumba 3 vya kulala, vyumba 2 vya kulala na chumba kimoja cha kulala, zikiwa na huduma za pamoja kama vile lifti, viwanja vya michezo kwa watoto, maegesho ya magari na maduka ya biashara yaliyo karibu