Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya RUWASA katika Kiwanja Na. 1, Block “BB”, Eneo la Uwekezaji, Njedengwa, Jijini Dodoma
Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya RUWASA katika Kiwanja Na. 1, Block “BB”, Eneo la Uwekezaji, Njedengwa, Jijini Dodoma
Imewekwa: 12 Machi, 2026
Taarifa za Mradi
Mshitiri/Mteja : Mkurugenzi Mkuu, Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), S.L.P 412, 40473 Dodoma.
Gharama : Billioni 24.92
Aina ya Mradi : Design and Supervision
Eneo / Mahali : Dodoma
Muda wa Mkataba : Miezi Ishirini na Nne
Taarifa zaidi za Mradi
Mradi wa Ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Ruwasa katika Kiwanja Na. 1 Block ''BB'' Eneo la Uwekezaji, Njedengwa Jijini Dodoma.