• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea wiki 2
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

Imewekwa: Tuesday 15, April 2025

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) kuendelea kushirikiana kufuatia Hati ya Makubaliano ya Mashirikiano iliyosainiwa Novemba 21, 2023.

Akizungumza baada ya kikao hicho Mtendaji Mkuu wa ZBA Mha. Kassim A. Omary amesema kikao hicho ni matokeo ya hati hiyo ya makubaliano ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya viongozi wakuu walioelekeza taasisi zinazofanya kazi zinazofanana Tanzania Bara na Zanzibar kushirikiana.

Mha. Kassim amesema kuwa kikao hicho kimekuwa na manufaa makubwa ambapo kamati ya wataalamu kutoka TBA na ZBA yenye jukumu la kusimamia utekelezaji wa maswala ya ushirikiano imeundwa na inatarajia kuanza kazi rasmi Januari 22, 2025.

Vile vile Mha. Omary amebainisha manufaa yanayotarajiwa kutokana na ushirikiano huo kuwa ni pamoja na kuharakisha utekelezaji wa majukumu kwa pande zote.

Naye Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro amesema ushirikiano huo utawezesha wataalamu wa TBA na ZBA kubadilishana uzoefu, kujifunza kutokana na kazi mbalimbali zinazotekelezwa Tanzania Bara na Zanzibar, kupeana fursa za mafunzo ya ndani na nje ya nchi pamoja na kufanya tafiti.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania