• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea wiki 2
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

WAZIRI ULEGA AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI WIZARA YA UJENZI.

Imewekwa: Tuesday 15, April 2025

Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi katika Ofisi ndogo za Wakala ya Barabara (TANROADS), tarehe 11 Disemba 2024 Dar es Salaam. Kikao hicho kimehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour, pamoja na Wakuu wa Taasisi za Ujenzi.

Kikoa hicho kimehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour, pamoja na Wakuu wa Taasisi kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Wakala wa UFfundi na Umeme (TEMESA), Bodi ya Usajiri ya Wahandisi (ERB), Bodi ya Usajiri ya Wakandarasi (CRB), Bodi ya Usajiri ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Bodi ya Mfuko wa Barabara (RFB), Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) NA Taasisi ya Teknolojia ya Ujenzi (ICoT).

Akizungumza katika kikao hicho, Waziri Ulega amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu kumteua kuhudumu katika Wizara ya Ujenzi. Aidha, Waziri Ulega ameahidi kuwapa ushirikiano Wakuu wa Taasisi hizo na kuendeleza yale yote ambayo yapo katika utekelezaji.

Kwa upande wake, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour amemkaribisha Waziri Ulega na kumuahidi ushirikiano kutoka kwa Menejimenti na watumishi wa Wizara pamoja na Taasisi zake.

Awali Mtendaji Mkuu TBA Arch. Daud Kondoro alitoa wasilisho kuhusu majukumu matatu yanayotekelezwa na TBA ambayo ni Usimamizi wa Miliki za Serikali, Utoaji wa huduma za Ushauri na Ujenzi wa Majengo ya Serikali. Vile vile, Arch. Kondoro ameelezea uhuhishaji wa Sheria ya Wakala wamepata ruksa ya kujenga na kuuza nyumba kwa umma.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania