• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

Habari

  • Arch. Kondoro aidhinishwa rasmi kuwa Mtendaji Mkuu TBA

    Wednesday 23, October 2019

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umepata Mtendaji Mkuu mpya Arch. Daud W. Kondoro ambaye ameidhinishwa rasmi kuiongoza Taasisi hii akichukua nafasi ya aliyekuwa Mtendaji wake Mkuu, Arch. Elius A. Mwakalinga ambaye aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi).

  • MKUU WA WILAYA YA KINONDONI ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAGOMENI KOTA

    Thursday 03, October 2019

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo atembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya wananchi Magomeni kota uliosanifiwa na kujengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi huo unaotarajiwa kukamilika mnamo mwezi Desemba mwaka huu.

  • TBA YAANZA KUANDAA MPANGO MKAKATI MPYA 2019/20 - 2023/24

    Tuesday 01, October 2019

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) unaandaa Mpango Mkakati mpya hii ni baada ya Mpango Mkakati wa awali kuisha muda wake.

  • TBA kukamilisha Mradi wa Magomeni Kota

    Wednesday 17, April 2019

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), imenunua Mitambo ya kuchakata zege pamoja na Mashine za kutengeneza tofali ambazo zitatumika kupunguza gharama za ujenzi katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na TBA ukiwemo Mradi wa nyumba za makazi Magomeni Kota

  • Uzinduzi wa Mji wa Serikali Dodoma

    Monday 15, April 2019

    Mji wa Serikali ambao ujenzi wake umesimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umezinduliwa rasmi Aprili 13, 2019 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amepongeza Taasisi zilizoshiriki kufanikisha ujenzi huo.

    • ‹
    • 1
    • 2
    • ...
    • 21
    • 22
    • 23
    • 24
    • 25
    • 26
    • 27
    • 28
    • 29
    • 30
    • ›
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania