• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

TBA yapongezwa

Imewekwa: Tuesday 21, November 2017

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa ameipongeza TBA kwa kazi nzuri inayofanya katika Sekta ya Ujenzi kwa kusimamia na kutekeleza Miradi ya Serikali kwa kuzingatia ubora na kwa gharama nafuu. Na amewataka pia wadau wengine waje wajifunze TBA na kuwa wazalendo katika kutekeleza miradi ya Serikali.

“Nakupongeza sana Mtendaji Mkuu wa TBA, kwa kazi kubwa unayofanya katika kutekeleza Miradi ya Serikali na kwa gharama nafuu, fedha mnayookoa inakwenda kusaidia huduma zingine, hivyo Serikali iko pamoja navyi na itaendelea kuwaunga mkono” Amesema Naibu Kwandikwa

Naibu Waziri Kwandikwa ametoa pongezi hizo kwenye Ziara ya kutembelea Mradi wa Nyumba za makazi, Magomeni Kota unaotekelezwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).

Naye Mtendaji Mkuu wa TBA, Arch. Elius Mwakalinga, amesema kuwa katika kupunguza gharama, TBA imeamua kuwekeza katika vifaa na rasilimali watu. Imefanikiwa kununua magari (Malori), mitambo na kuwa na wataalamu wa fani mbalimbali za ujenzi wenye uwezo na weledi mkubwa katika utendaji kazi.

“TBA tunafanya kazi kwa vitendo na hatuna tamaa na pesa, kikubwa ni Uzalendo tu” amesema Mwakalinga

Mradi wa Magomeni ni mradi wa nyumba za Makazi

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania