• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea wiki 2
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

UTANGULIZI

Idara ya Miliki ni kati ya Idara kuu tatu zilizopo chini ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Idara hii inaongozwa na Mkurugenzi ambae anasaidiwa kusimamia na kutekeleza majukumu ya Idara kwa ushirikiano wa kitengo cha Usimamizi na Uendeshaji wa Miliki ya nyumba za Wakala, Kitengo kingine ni cha Utafiti na Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa na Wakala wa Majengo Tanzania. Aidha, ipo sehemu inayoshughulika na kuweka kumbukumbu za mikataba ya mauzo ya nyumba za Serikali.

Vitengo hivi vinaongozwa na wakuu wafuatao;

i. Msimamizi wa Nyumba - Chief Property Manager

ii. Msimamizi wa Utafiti na miradi ya Maendeleo Chief Research and Planning Development Manager.

iii. Msimamizi wa sehemu ya utunzaji wa kumbukumbu za miliki ya Serikali (Data Base Documentalist)

MAJUKUMU YA IDARA

Idara ya Miliki ina majukumu yafuatayo:

i. Kuhakikisha Wakala unamiliki maeneo kwa ajili ya ujenzi wa majengo na nyumba za watumishi wa umma.

ii. Ujenzi wa nyumba mpya za Serikali

iii. Uuzaji wa nyumba za Serikali kwa watumishi wa umma.

iv. Upangishaji wa nyumba za Serikali kwa viongozi na watumishi wa umma.

v. Uwekaji samani kwenye nyumba za Viongozi

vi. Upangishaji wa baadhi ya nyumba za Serikali kibiashara.

vii. Matengenezo ya nyumba/majengo ya Serikali.

viii. Kutoa ushauri kwa Serikali kuhusiana na masuala yanayohusu nyumba na usimamizi wa Miliki.

ix. Kutoa huduma ya usimamizi wa matumizi ya majengo ya Serikali yaliyokwisha kukamilika (Facility Management).

MAJUKUMU YA KITENGO CHA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA NYUMBA

Kitengo cha usimamizi na uendeshaji wa milikikina majukumu ya kusimamia nyumba za viongozi, upangishaji wa nyumba kwa watumishi wa Serikali, kibiashara pamoja na uendeshaji wa nyumba hizo. Kitengo hiki pia kinasimamia matengenezo ya nyumba za Wakala.

MAJUKUMU

YA KITENGO CHA UTAFITI NA MIRADI

Kitengo cha cha utafiti na miradi kina jukumu la kuhakikisha upatikanaji wa viwanja pamoja na miliki zake kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya Wakala. Kuandaa uchambuzi yakinifu wa ndani kwa miradi ya maendeleo ya wakala. Kusimamia nyumba/majengo yote yanayorejeshwa Serikalini chini ya wakala na majengo na viwanja vyote yanayomilikwa na Wakala na kusimamia uuzaji wa nyumba za Wakala.

Aidha, kitengo hiki kinatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uthamini wa majengo na Ardhi ya Serikali

MAJUKUMU YA SEHEMU YA DATA BASE

Sehemu hii (Section) inasimamia uwekaji kumbukumbu

sahihi ya miliki ya Serikali ikiwa ni pamoja na nyumba zinazouzwa na kupangishwa

nchi nzima, viwanja na maeneo ya Serikali yaliyonunuliwa.


Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania

Tanzania Census 2022