• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea siku 3
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea wiki 3
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea wiki 3
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea wiki 3

Latest Press Release

SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

Imewekwa: Tuesday 06, May 2025

Dodoma, 5 Mei 2025 – Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (Mb), amewasilisha Bungeni Mpango na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025/26 akiainisha utekelezaji wa miradi ya kimkakati ikiwemo ujenzi na ukarabati wa nyumba na majengo ya Serikali kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Miradi hiyo inahusisha ujenzi wa nyumba za makazi ya watumishi wa umma katika maeneo mbalimbali nchini, pamoja na usimamizi wa ujenzi wa majengo ya Wizara 19 katika Mji wa Serikali, Mtumba – Dodoma.

Katika hotuba yake, Mhe. Ulega ameeleza pia kuhusu mabadiliko ya Sheria ya Uanzishwaji wa Wakala wa Majengo kupitia Tangazo la Serikali Na. 595, ambayo sasa inaruhusu TBA kushirikiana na Sekta Binafsi, kujenga na kuuza au kupangisha nyumba kwa bei ya soko. “TBA imeainisha maeneo yaliyoiva kibiashara katika mikoa ya Dar es Salaam, Arusha, Dodoma na Mwanza kwa ajili ya kuyaendeleza kwa njia ya ubia na mikopo kutoka taasisi za kifedha,” amesema Waziri Ulega.



Aidha, Waziri Ulega ametoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kushirikiana na TBA katika kuendeleza sekta ya ujenzi wa makazi. “Hatua hii inalenga kupunguza changamoto za makazi kwa watumishi wa umma, kuongeza mapato ya Wakala, na kupunguza utegemezi wa Serikali,” amesisitiza Mhe. Ulega.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania