• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

?DC NYAMAGANA AIPONGEZA TBA KWA KUTEKELEZA MIRADI MKOANI MWANZA

Imewekwa: Thursday 02, April 2020

DC NYAMAGANA AIPONGEZA TBA KWA KUTEKELEZA MIRADI MKOANI MWANZA

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Dkt. Philis M. Nyimbi ameupongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Mwanza.

Akiongea juu ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Dkt. Nyimbi amesema TBA imejenga jengo zuri, lililojengwa kitaalam ambalo hata kimuonekano wa ramani ni jengo linalovutia. Pia Mhe. Nyimbi alisema jengo hilo lina nafasi kubwa inayokidhi mahitaji ya ofisi kwa watumishi wote na hakuna tena changamoto ya muingiliano kama ilivyokuwa awali. Pia ameishukuru Serikali kwa kuipa TBA jukumu la kujenga jengo hilo kwani kukamilika kwake kumeleta mafanikio makubwa kwa Wilaya ya Nyamagana na wakazi wote wa jiji la Mwanza.

Aidha, Kaimu Meneja TBA Mkoa wa Mwaza Arch. Salum Kihelo amesema miradi inayotekelezwa Mkoani Mwanza ni pamoja na Ujenzi wa jengo la huduma ya mama na mtoto katika hospitali ya Sekou Toure, ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Misungwi, ujenzi wa jengo la ofisi ya Mkurugenzi Buchosa, ujenzi wa jengo la Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kanda ya Ziwa, ujenzi wa jengo la Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na ujenzi wa jengo la nyumba ya makazi ya Mkuu wa mkoa wa Mwanza.

Vile vile Arch. Kihelo aliongeza kwa kusema kuwa, katika utekelezaji wa miradi hiyo ofisi ya TBA Mkoa wa Mwanza inatoa na kupokea ushirikiano mkubwa kutoka kwa washitiri.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania