• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

DED KIGAMBONI AUNGANA NA MHE. RAIS KUIPONGEZA TBA KWA KUTEKELEZA MRADI WA UJENZI WA OFISI YA MANISPAA

Imewekwa: Friday 14, February 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Arch. Ng’wilabuzu Ludigija ameungana na Mhe. Rais Dtk. John Pombe Magufuli kuipongeza TBA kwa kutekeleza kwa wakati mradi wa ujenzi ya ofisi ya Halmashauri ya Manispaa Kigamboni. Arch. Ludigija ameelezea manufaa makubwa ya uwepo wa jengo hilo la ofisi kwa watumishi wake kuwa umeongeza kasi ya utendaji na kurahisisha shughuli mbalimbali za kiofisi. Vilevile hakusita kueleza matarajio yake katika kuendelea kufanya kazi na TBA hasa katika ujenzi wa nyumba za watumishi ambazo ziliahidiwa na Mhe Rais siku ya hafla ya uzinduzi wa ofisi hiyo.

Vilevile Mkuu wa Kitengo cha Tehama katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Ndugu Edwin Johson Owawa amempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kutoa fedha za kujenga ofisi kwani zimekuwa na tija na kuongeza ufanisi kupelekea mabadiliko chanya ya kiutendaji.

Aidha, Bi Eusebia Nicholaus Nagunwa mkazi wa Mji Mwema, Manispaa ya Kigamboni amefurahishwa na kukamilika kwa ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Manispaa na kusema kuwa wameepukana na changamoto nyingi ambazo zilikuwa zinawanyima haki yao ya msingi kupata huduma kwa wakati. Pia ameipongeza TBA kwa kujenga jengo kubwa na la kisasa kwa kuzingatia muda wa mkataba.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania