• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDO MBINU YAIPONGEZA TBA

Imewekwa: Friday 13, March 2020


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundo Mbinu imeupongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa ujenzi unaozingatia ubora na wenye kukidhi viwango. Pongezi hizo zimetolewa na Kamati hiyo Machi 12, 2020 baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa majengo ya Mji wa Serikali awamu ya kwanza eneo la Mtumba jijini Dodoma yaliyobuniwa na kujengwa chini ya usimamizi wa TBA.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Selemani Moshi Kakoso (Mb) amesema mradi walioutembelea ni mradi wa kitaifa unaoridhisha na kukidhi viwango vinavyotakiwa.

Naye Mtendaji Mkuu wa TBA, Arch. Daud Kondoro ameiambia Kamati hiyo kuwa mji huo umebuniwa (design) na kujengwa chini ya usimamizi wa TBA na kusema kuwa ubunifu wa Mji wa Serikali awamu ya pili unahusisha majengo makubwa na unatarajiwa kukamilika mwezi Aprili, 2020 ambapo kutakuwa na aina tatu za majengo (design 3) kulingana na wingi wa watumishi kwenye kila Wizara.

Aidha wajumbe wengine wa kamati hiyo walitoa pongezi za dhati kwa Mtendaji Mkuu wa TBA kwa kufanya wasilisho zuri kuhusu ubunifu na usimamizi wa Mji wa Serikali awamu ya kwanza pamoja na ubunifu wa Mji wa Serikali awamu ya pili.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania