• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI YAITEMBELEA TBA

Imewekwa: Friday 25, March 2022

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mhe. Japhet Hasunga Mbunge wa jimbo la Vyawa Mkoani Songwe leo 25 Machi, 2022 imefanya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa Nyumba za Watumishi wa Umma eneo la Magomeni Kota

Katika ziara hiyo Kamati ilipata nafasi ya kutembelea Nyumba za Makazi za Magomeni Kota ambazo zilifunguliwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mnamo 23 Machi, 2022. Pia Kamati ilitembelea mradi wa soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Magomeni Kota Machinga Centre na eneo la maduka ya kisasa (Shopping Malls) ikiwa ni sehemu ya miradi inayotekelezwa na TBA kupitia fedha za mapato ya ndani pamoja na kukagua mradi wa ujenzi wa Nyumba za Makazi za Watumishi wa Umma ambalo ndilo lengo kuu la ziara ya kamati hiyo.

Katika wasilisho la mpango kabambe juu ya uendelezaji wa eneo zima la Magomeni Kota lililotolewa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Daud Kondoro amesema serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imetoa jumla ya shilingi bilioni 4.9 kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi huo unaotarajiwa kukamilika mwezi Agosti 2022. Kupitia mpango kabambe huo kunatarajiwa kujengwa maghorofa 5 zenye sakafu 7 kila moja ambazo zitakuwa na uwezo wa kuchukua familia 16 kwa kila jengo. Uendelezaji wa eneo hili utasaidia kupunguza changamoto ya makazi kwa watumishi wa umma katika jiji la Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo Mhe. Hasunga ameipongeza TBA kwa kazi nzuri ya ujenzi wa Nyumba za Makazi za Magomeni Kota na kuongeza kuwa kamati imeridhishwa na ujenzi unaoendelea.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania