• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • PROF. MBARAWA AIPONGEZA TBA UFUNGUZI WA MAJENGO YA KISASA DAR ES SALAAM

    tokea siku 2
  • PAC YATEMBELEA MRADI WA TEMEKE KOTA

    tokea siku 3
  • KAMATI YA BUNGE YAITAKA WIZARA YA UJENZI KUISAIDIA TBA.

    tokea wiki 1
  • BODI YA USHAURI YA TBA YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA TEMEKE KOTA.

    tokea wiki 2

Latest Press Release

MAFUNZO ELEKEZI KUBORESHA UTENDAJI KAZI SERIKALINI ARCH. MWAKASUNGULA.

Imewekwa: Wednesday 21, December 2022

Watumishi wapya wa kada mbalimbali wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wameanza mafunzo elekezi ya siku tano yanayotolewa na Chuo cha Utumishi wa Umma.

Mafunzo hayo yanawahusu watumishi wa taaluma zote na yanalenga kuwaeleza wahusika kuhusu utaratibu za utendaji kazi Serikalini.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Kaimu Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daniel Mwakasungula amesema mafunzo hayo ni kwa mujibu wa sheria na yanalenga kuongeza tija katika utendaji wa majukumu mbalimbali ya Serikali.

“Kama ilivyo Kwa mujibu wa Waraka wa Utumishi Na.4. wa mwaka 2005 kuhusu Mafunzo elekezi ya awali kwa watumishi wa Umma unaelekeza Wajibu na Umuhimu wa Wizara au Idara za Serikali kuhakikisha watumishi wote wanaoajiriwa kwa mara ya kwanza wanapatiwa mafunzo ya utendaji na utekelezaji kazi Serikalini yaani Mafunzo Elekezi" amesema Arch. Mwakasungula.

Vile vile Arch. Mwakasungula amesema kupitia mafunzo hayo elekezi ni dhahiri kuwa watumishi hao watakuwa na uelewa wa kutosha juu ya namna ya kuheshimu miongozo mbalimbali.

“Watumishi hawa watakaopewa mafunzo elekezi leo watakuwa wamepata uelewa wa kuwa na nidhamu, ufanisi, uadilifu, uwezo wa utendaji bora wa kazi katika utumishi wa umma” amesema Arch. Mwakasungula.

Pamoja na mambo mengine Arch. Mwakasungula alifungua rasmi mafunzo hayo elekezi kwa watumishi wapya wa TBA ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku tano.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2023 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania