• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

MAGOMENI KOTA YAWA SOMO KWA WADAU MBALIMBALI WA MAENDELEO NCHINI.

Imewekwa: Friday 03, February 2023

Februari 2, 2023 Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umefanya kikao na Maafisa kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na Maafisa kutoka Benki ya Dunia chini ya uongozi wa Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro.

Kikao hicho kililenga kuwapatia uzoefu maafisa wa TAMISEMI na Benki ya Dunia juu ya namna ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa nyumba za makazi zinazohusu jamii ya watu wengi wanaoishi pamoja kama ilivyokuwa kwa wakaazi 664 waliokuwa wakiishi katika eneo la Magomeni Kota.

Katika kikao hicho TBA ilipokea wasilisho la mpango wa uendelezaji wa eneo la Bonde la Mto Msimbazi na kutoa maoni yake kama mdau muhimu katika sekta ya majengo nchini.

Pia, TBA ilifanya wasilisho linaloelezea namna mradi wa ujenzi wa nyumba 644 za wakaazi wa Magomeni Kota ulivyotekelezwa.

TBA imetembelewa na maafisa hao kama Mdau mkubwa na muhimu katika Sekta ya Majengo nchini hasa kukiwa na maandalizi yakuanza uendelezaji wa bonde la mto Msimbazi.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania