• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

MAKAMU WA RAIS ARIDHISHWA NA KAZI ILIYOFANYWA NA TBA WAKATI ALIPOTEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA SIMIYU

Imewekwa: Monday 09, March 2020

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametembelea jengo la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu na kuridhishwa na kazi iliyofanywa na TBA katika kukamilisha mradi wa ujenzi wa majengo hayo. TBA ilikuwa mkandarasi katika Ujenzi wa majengo ya Hospitali hiyo. Majengo yaliyojengwa na TBA yanajumuisha Jengo la OPD, Jengo la Maabara ya Kisasa, Jengo la Mionzi na Upasuaji pamoja na Jengo la kuunguzia taka. Mara baada ya kutembelea majengo mbalimbali katika Hospitali hiyo, Makamu wa Rais alieleza kufurahishwa na kazi iliyofanywa na kuomba kupiga picha na watumishi wa TBA.

Aidha Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan baada ya kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu alieleza kuridhishwa na hatua iliyofikiwa kutokana na maendeleo ya kiutendaji katika Hospitali hiyo.

Ziara hiyo ilifanyika Machi 07, 2020 kabla ya siku ya kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika uwanja wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu Machi 08, 2020 ambayo mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho hayo alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania