• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

MENEJA WA TBA AFAFANUA MIRADI INAYOTEKELEZWA MKOANI ARUSHA

Imewekwa: Thursday 20, February 2020

Kaimu Meneja wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Arusha Mhandisi Juma O. Dandi, ameeleza baadhi ya Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na TBA Mkoani Arusha ambayo inatarajiwa kuwa na tija kwa wakazi wa jiji la Arusha na watanzania kwa ujumla. Miradi hiyo inajumuisha miradi ya Ujenzi, Ushauri pamoja na Ukarabati. Miradi ya ujenzi inayotekelezwa na TBA Mkoani Arusha inajumuisha Ujenzi wa Maabara ya nguvu za mionzi katika eneo la Njiro na Ujenzi wa jengo la Kibiashara linalojengwa katika mtaa wa Simeon jijini Arusha lenye uwezo wa kutoa makazi kwa familia ishirini na mbili (22).

Miradi ya ushauri iliyoainishwa na Mhandisi Dandi inajumuisha Ujenzi wa jengo la utawala katika Chuo cha Misitu Olimotonyi pamoja na Ujenzi wa nyumba mbili za watumishi wa Mahakama zilizopo eneo la Wasso Wilayani Loliondo. Vile vile miradi ya ukarabati inayotekelezwa katika Mkoa wa Arusha ni pamoja na Ukarabati wa jengo la Maabara katika Kituo cha Utafiti wa Kilimo (TARI) kilichopo Tengeru na Ukarabati wa jengo la abiria katika Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA).

Aidha, Mhandisi. Dandi ameainisha mkakati wa kukamilisha ukarabati wa Karakana kufikia mwezi Juni, 2020. Mhandisi. Dandi alifafanua manufaa ya ukarabati wa karakana hiyo kuwa ni pamoja na kutatoa nafasi za ajira kwa vijana, kupunguza gharama za ujenzi kwa kutumia vifaa kama fremu za milango, madirisha na samani nyingine zitakazozalishwa na karakana hiyo kwa gharama za chini, pamoja na kuongeza mapato kwa kuuza bidhaa zitakazozalishwa na karakana.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania