• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

MHE. RAIS AIPONGEZA TBA KWA KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI WA OFISI KIGAMBONI

Imewekwa: Tuesday 11, February 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametembelea eneo la Gezaulole, Manispaa ya Kigamboni na kuzindua rasmi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni pamoja na jengo la Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni.

Mhe. Rais amefurahishwa na kuipongeza TBA kwa kukamilisha ujenzi wa ofisi hizo ambazo zitasaidia kutoa huduma kwa wananchi na kuongeza kasi ya maendeleo katika Wilaya ya Kigamboni kwa ujumla. Pia Mhe. Rais amempongeza Msimamizi wa Mradi, Arch. Edwin Godfrey kwa usimamizi mzuri uliopelekea miradi hii kukamilika kwa wakati.

Aidha, Mtendaji Mkuu wa TBA, Arch. Daud Kondoro amemshukuru Mhe. Rais kwa kuridhishwa na kazi iliyofanywa na TBA katika kutekeleza miradi hiyo ya maendeleo. Pia ametoa rai kwa washitiri wengine kushirikiana na TBA kufanya kazi kama timu katika kutekeleza miradi hiyo.

Akiongea kuhusu kusifiwa na Mhe. Rais, Meneja wa TBA Mkoa wa Dar es Salaam Arch. Edwin Godfrey amesema anaichukulia kama changamoto inayompasa kuongeza bidii zaidi na ubunifu ili kuendana na matarajio ya Mhe. Rais.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania