• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI ATEMBELEA TBA

Imewekwa: Tuesday 15, April 2025

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Dkt. Charles Msonde ametembelea Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na kukutana na Menejimenti katika Ofisi ndogo za TBA Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo Dkt. Msonde amepokea wasilisho juu ya Majukumu ya TBA, mafanikio, changamoto na utatuzi wake.
Baada ya wasilisho na kutembelea miradi inayotekelezwa na TBA jijini Dar es Salaam, Dkt. Msonde amesema ameridhishwa na namna TBA inavyotekeleza majukumu yake katika maeneo mbalimbali nchini pamoja na kutoa maekelezo kwa lengo ya kuchochea ufanisi na utendaji kazi.

Akizungumza wakati wa Ziara hiyo Dkt. Msonde amesema amefurahishwa na kazi nzuri inayotekelezwa na TBA hasa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ikijumuisha ujenzi wa nyumba za makazi pamoja na miradi ya mingine ambayo TBA inapewa jukumu na Serikali.

"Mmefanya kazi nzuri sana katika Jengo la Ofisi ya Rais Utumishi. Lile jengo limejengwa kisasa na nilipoambiwa kazi ile imefanywa na TBA nilistaajabu kwa sababu ujenzi umekamilika kwa wakati na mmefanikiwa kuweka miundombinu ya kisasa ambayo ni kivutio kwa Mji wetu wa Serikali" amesema Dkt. Msonda.

Pia Msonde ameitaka TBA kuhakikisha inakuja na mpango madhubuti wa kutatua changamoto ya makazi ambapo amesema uhitaji wa makazi bora unaongezeka kwa kasi ikilinganishwa na idadi ndogo ya nyumba zinazojengwa.

Vile vile ameitaka TBA kudumisha ushirikiano kati ya viongozi na viongozi, viongozi na watumishi, TBA na Taasisi nyingine zilizopo ndani ya Wizara ya Ujenzi na ushirikiano kati yake na Wizara ya Ujenzi. kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kuongeza ufanisi kwa maendeleo ya Wizara kwa ujumla.

Pia ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuipa TBA fedha kwa ajili ya kuboresha makazi na kuchochea uchumi nchini.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania