• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

BODI MPYA YA ZABUNI YAZINDULIWA TBA

Imewekwa: Thursday 20, July 2023

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ameteua wajumbe wanaounda Bodi mpya ya Zabuni ya Awamu ya nane na kuizindua rasmi. Bodi hiyo itakuwa na jukumu la kupitisha manunuzi yatakayofanyika kwenye Ofisi za TBA Makao Makuu pamoja na kusimamia utendaji wa Bodi ndogo za Zabuni za Kanda zinazojumuisha Kanda ya Pwani, Kanda ya Kati, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Magharibi na Kanda ya Kusini.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi hiyo Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro ameitaka Bodi hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kuongeza ufanisi na tija katika shughuli zote za ununuzi kwa kuzingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2011 na Kanuni zake za mwaka 2013 kama zilivyorekebishwa mwaka 2016 na 2018.

"Ninamatarajio makubwa kuwa Bodi hii itatekeleza majukumu yake kwa weledi na maarifa ili kuwezesha kufikia malengo ya Wakala na Serikali kwa ujumla" amesisitiza Arch. Kondoro.

Awali akizungumza wakati wa kumkaribisha Mtendaji Mkuu wa TBA, Meneja wa Kitengo cha Manunuzi na Ugavi Bibi. Mariam Kazoba alisema kuwa kumekuwa na manufaa mbalimbali kupitia uwepo wa Bodi hiyo ikiwa ni pamoja na TBA kufanikiwa kutekeleza shughuli za ununuzi kwa ufanisi na kufanikiwa kupata 89.11% kwenye Ukaguzi wa Thamani ya Fedha yaani Value for Money Audit uliofanywa na PPRA mwezi Septemba, 2022.

Bodi mpya ya Zabuni iliyozinduliwa itadumu kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 1.07.2023 hadi 30.06.2026.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania