• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

WATUMISHI TBA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA UNUNUZI WA UMMA KWA NJIA YA MTANDAO (NeST).

Imewekwa: Wednesday 13, September 2023

Watumishi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wanaendelea kupatiwa mafunzo ya Mfumo mpya wa Ununuzi wa Umma kwa Njia ya Mtandao (NeST).

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBA, Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Bw. Mathias Mhembe amesema kuwa mafunzo hayo ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali kupitia Waraka wa Hazina Na.2 wa mwaka 2023/2024 unaozitaka Taasisi Nunuzi zote hapa nchini kuanza mara moja kutumia mfumo mpya wa usimamizi wa ununuzi wa umma kwa njia ya kielektroniki (NeST) ifikapo Oktoba Mosi mwaka 2023.

Pia Bw. Mhembe amesema kuwa anatarajia kuwa mfumo huo mpya utatatua changamoto zilizokuwepo wakati wa matumizi ya mfumo wa ununuzi wa Taneps.

“Nimejulishwa kuwa, mfumo huu mpya unakwenda kutatua changamoto zote zilizokuwepo kwenye mfumo wa zamani ikiwemo ucheleweshaji wa michakato ya zabuni, upatikanaji wa wazabuni na watoa huduma wasiokidhi vigezo ama kutokuwa na uwezo wa kutekeleza kazi. Ni imani yangu kwamba kutokana na mabadiliko na kurahisishwa kwa teknolojia, mfumo huu mpya wa NeST utakuwa rafiki na utakidhi mahitaji ya sasa” amesema Bw. Mhembe.

Awali akitoa taarifa ya matumizi ya mfumo mpya, Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari kutoka PPRA Bw. Michael Moshiro alisema kuwa mfumo mpya wa ununuzi wa NeST utaongeza uwazi na uwajibikaji ukilinganisha na mfumo wa ununuzi uliokuwepo wa Taneps.

Mafunzo ya Mfumo mpya wa Ununuzi wa Umma kwa Njia ya Mtandao (NeST). yanatolewa kwa siku tano na maafisa kutoka PPRA kuanzia Septemba 11-15, 2023 mjini Iringa yakihusisha watumiaji wa mfumo kutoka Ofisi za TBA ambao ni Afisa Masuuli, Bodi ya Zabuni, Maafisa Ununuzi na Ugavi, Wakuu wa Vitengo na Sehemu, wawakilishi wa Idara tumizi, Wanasheria na Maafisa TEHAMA.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania