• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

TBA YAINGIA MAKUBALIANO KUSHIRIKIANA NA ZBA.

Imewekwa: Wednesday 22, November 2023

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini hati ya ushirikiano na Wakala wa Majengo Zanzibar (ZBA) kwa lengo la kujifunza, kujengeana uwezo na kubadilishana uzoefu.

Hati ya makubaliano hayo upande wa TBA imesainiwa na Mtendaji Mkuu Arch. Daud Kondoro katika Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali, Wakandarasi na Washauri Elekezi wa ndani uliofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Mashirikiano haya yamelenga zaidi katika kuimarisha ubadilishanaji wa ujuzi na maarifa kati pande hizi mbili na kusimamia kadri iwezekanavyo mfumo wa kudhibiti ubora, usimamizi wa miradi ya ujenzi wa majengo ya Serikali na kupata uzoefu zaidi.

Wataalamu wa pande zote mbili watatembelea miradi, kutoa ushauri na kujifunza kwa lengo la kuleta ufanisi wa utekelezaji wa miradi ya Serikali.

Hadi makubaliano haya yanasainiwa, tayari baadhi ya wataalamu kutoka ZBA wameshafanya ziara ya kutembelea baadhi ya miradi inayotekelezwa na TBA katika mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma ukiwemo mradi mkubwa wa kimkakati wa ujenzi wa Mji wa Serikali.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania