• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea siku 3
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea wiki 3
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea wiki 3
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea wiki 3

Latest Press Release

TBA YAANZA KUANDAA MPANGO MKAKATI MPYA 2019/20 - 2023/24

Imewekwa: Tuesday 01, October 2019

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) unaandaa Mpango Mkakati mpya hii ni baada ya Mpango Mkakati wa awali kuisha muda wake. Sehemu ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini chini ya Idara ya Huduma za Biashara kimeunda timu ya kuandaa Mpango Mkakati ikihusisha wawakilishi mbalimbali wakiwemo Mwakilishi kutoka Wizarani (DTES), Wakurugenzi wa Idara, Mameneja wa Vitengo/ Sehemu, baadhi ya Mameneja wa Mikoa, Maafisa wa TBA pamoja na Muwezeshaji kutoka Wizara ya Fedha na Mipango.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi hicho Mkurugenzi wa Huduma Wezeshi Bw. Amos Nnko alisema, Mpango Mkakati huo ni lazima uendane na Sera za Nchi na kuhakikisha unakidhi mahitaji ya Watumishi wa Umma na Unaleta tija kwa TBA.

Mpango mkakati huo unatarajiwa kuleta mabadiliko chanya Katika utekelezaji wa kazi za TBA ili iweze kutimiza malengo yake kwa Ufanisi na kwa gharama nafuu.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania