• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

TBA yapata Tuzo katika Maonyesho ya 42 ya Sabasaba

Imewekwa: Wednesday 12, September 2018

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) imefanikiwa kupata Kikombe cha ushindi kwenye Maonyesho ya 42 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, yanayoandaliwa na TANTRADE. Katika Maonyesho hayo yaliyofanyika kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2018 katika viwanja vya maonesho vya Mwl. J.K. Nyerere (sabasaba), TBA ilifanikiwa kushinda zawadi ya mshindi wa kwanza yaani “Certificate of Award as First Winner Prize under the category of Construction and Related Building Materials Exhibitors”. Pia TBA ilifanikiwa kupata cheti cha ushiriki wa Maonyesho hayo.

Lengo kuu la TBA kushiriki maonesho hayo ilikuwa ni kujitangaza, kutoa elimu juu ya huduma zinazotolewa na wakala pamoja na kukutana na wadau mbalimbali ili kuongeza fursa za kibiashara na huduma zinazotolewa na Wakala wa Majengo (TBA).

Katika Maonyesho hayo, TBA ilionyesha baadhi ya Mitambo yake inayotumika katika Miradi mbalimbali inayotekeleza nchi nzima. Pia baadhi ya michoro ya Majengo inayojenga na mingine iliyokamilika.

Wananchi wengi waliotembelea Banda hilo walifurahi kujifunza na kuona huduma zinazotolewa na TBA, hivyo baadhi yao walipendekeza huduma ya ujenzi wa nyumba za watumishi wa umma uendelee kutekelezwa katika mikoa yote ya Tanzania.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania