• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

UJENZI WA KITUO CHA PAMOJA CHA FORODHA KASUMULU UTACHOCHEA MAENDELEO – RAIS SAMIA.

Imewekwa: Tuesday 09, August 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amepongeza na kuridhishwa na ujenzi wa Kituo cha pamoja cha forodha katika mpaka wa Tanzania na Malawi kilichojengwa katika eneo la Kasumulu Wilayani Kyela mkoani Mbeya na kueleza kuwa Kituo hicho kitasaidia kukuza uchumi kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Amesema hayo Agosti 7, 2022 baada ya kuweka jiwe la msingi katika Kituo hicho.

Aidha Rais Samia amebainisha kuwa Kituo hicho ni muhimu kwa kuwa kitawezesha wananchi kufanya biashara kwa urahisi na kujiletea maendeleo.

Awali akitoa maelezo kwa Mhe. Rais Samia, Mtendaji Mkuu wa TBA, Arch. Daudi Kondoro amesema ujenzi huo unajumuisha eneo la maegesho ya magari ambalo lina uwezo wa kuchukua Mabasi 18, magari madogo 22. Pia kuna eneo la magesho ya malori.

Amefafanua kuwa mradi huo pia unahusisha jengo la abiria lenye sehemu za kukagua mazao na bidhaa nyingine. Pia kuna sehemu za usalama kwa ajili ya kupima afya za abiria na endapo itabainika kuna mgonjwa, ipo sehemu ya Karantini ya kumhifadhi mgonjwa huyo kwa muda.

Wananchi waliohudhuria hafla hiyo, wameshukuru na kupongeza ujenzi huo kuwa utachochea maendeleo katika kwa kiasi kikubwa.

Mradi huo unajengwa na Kampuni ya China Geo-Engineering Corporation (CGC) na kusimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kushirikiana na Kampuni ya Engineering Consultant Group (ECG) kutoka Misri.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania