• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

WANAWAKE WA TBA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.

Imewekwa: Wednesday 09, March 2022

“Kizazi cha haki na usawa kwa maendeleo endelevu” ni kauli mbiu iliyobeba maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofikia kilele chake mnamo Machi 8, 2022. Maadhimisho hayo yaliambatana na maandamano yaliyofanyika katika mikoa mbalimbali nchini pamoja na maonyesho ya bidhaa mbalimbali zilizotengenezwa na wanawake wajasiriamali.

Wafanyakazi wanawake wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) waliungana na wanawake wengine dunia kusherehekea maadhimisho hayo ambayo yalifanyika katika mikoa mbalimbali nchini.

Viongozi mbalimbali walioudhuria sherehe hizo waliwapongeza wanawake na kuwataka waendelee kufanya kazi kwa bidii. Akizungumza wakati wa sherehe hizo Bw. Hassan Rugwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa ujumbe kwa wanawake wa Dar es Salaam kuwa Serikali inaendelea kuongeza kiwango cha mikopo kwa wanawake.

Awali Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro alitoa baraka zake kwa wanawake wa TBA kabla ya kuanza kwa maandamo hayo katika Makao Makuu ya ofisi za Wakala jijini Dar es Salaam. Pia Arch. Kondoro aliwapongeza wanawake wa TBA kwa kazi nzuri wanazozifanya kila mmoja katika kitengo chake ambazo zimekuwa chachu ya mafanikio ya Wakala na taifa kwa ujumla. "Kama kauli mbiu yenu inavyosema Kizazi cha haki na usawa kwa maendeleo endelevu hivyo kila mnachokipata hapa TBA ni haki yenu" aliongeza Arch. Kondoro.

Wanawake wa TBA wamemshukuru Mtendaji Mkuu pamoja na menejimenti ya TBA kwa kuwawezesha katika maeneo mbalimbali.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania