• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA MRADI WA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA GEITA

Imewekwa: Sunday 16, August 2020

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amefaya ziara ya kutembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita unaotekelezwa na TBA kama Mkandarasi na Mshauri Elekezi. Akiwa katika eneo hilo la Mradi amefurahishwa na kasi ya ujenzi huo na kuipongeza TBA kwa kuendelea kutekeleza mradi huo katika ubora wa hali ya juu.

Pia Waziri Ummy amemshukuru sana Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo na miradi mingine ya Afya kote Nchini.

Vile vile kipekee ameipongeza TBA kwa kuendelea kutekeleza miradi katika kiwango cha juu. Aliongeza pia kwa kumpongeza Meneja wa TBA Mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta kwa kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha ujenzi unakwenda vizuri.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Eng. Robert G. Luhumbi ameipongeza TBA kwa kazi nzuri iliyofanyika katika ujenzi wa hospitali hiyo huku akimpongeza meneja wa TBA na wasaidizi wake. Vile vile Mhe. Mkuu wa Mkoa ameshukuru Mhe. Rais. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuleta mradi huo wa hospitali kwani utasaidia kuokoa maisha ya wanawake wengi wakati wa kujifungua pamoja na wagonjwa wengine watakaopata huduma katika hospitali hiyo ya Rufaa.

Meneja wa TBA Mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta amemshukuru Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu kwa kutembelea mradi ya Afya ambao unatekelezwa na TBA kwa mfumo wa buni - jenga (Design & Build). Aliongeza pia kuwa amefarijika sana kuona Waziri ametambua kazi inayofanywa na TBA kuwa ni yenye ubora na ameahidi kuyafanyia kazi yale yote ambayo Waziri ameagiza.

Aidha Mhandisi Gladys amempongeza Mhe. Rais. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Afya.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania