• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

BODI YA USHAURI YAITAKA TBA KUONGEZA KASI UKUSANYAJI MAPATO.

Imewekwa: Wednesday 28, February 2024

Bodi ya Ushauri ya TBA imefanya kikao chake cha pili cha kawaida kwa mwaka wa fedha 2023/24 katika ukumbi wa mikutano wa TBA uliopojijini Dar es Salaam.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa kikao hicho Mwenyekiti wa Bodi hiyo Arch. Ombeni Swai amesema miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ni pamoja na mapendekezo ya bajeti ya Wakala kwa mwaka 2024/25.

“Kupitia Bajeti hiyo ya Wakala, Bodi imeichambua na kuja na mapendekezo mbalimbali ambayo yanalenga kuiwezesha TBA kufanya kazi kwa ufanisi. Vile vile Bodi imebaini kazi kubwa iliyofanywa na TBA katika makusanyo ya kodi kutoka katika nyumba na majengo yanayosimamiwa na TBA nchini” amesema Arch. Swai.

Aidha amesema kupitia kikao hiki Bodi imetoa maelekezo kwa Menejimenti ya TBA kuhakikisha wanaongeza kasi ya ukusanyaji wa kodi ya pango sambamba na kuwaondoa wadaiwa sugu ili kuhakikisha mapato yanayokusanywa yanakwenda kutekeleza majukumu mengine ikiwa ni pamoja na ujenzi wa nyumba mpya na ukarabati.

Katika hatua nyingine Arch. Swai ameipongeza TBA kwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbali kwa weledi na ufanisi.

“Baada ya kupitia taarifa mbalimbali zilizowasilishwa na Menejimenti ya TBA, nawapongeza kwa kazi nzuri wanayoendelea kuifanya hasa katika ujenzi wa nyumba mpya katika maeneo mbalimbali nchini” amesisitiza Arch. Swai.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania