• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

Arch. Kondoro aidhinishwa rasmi kuwa Mtendaji Mkuu TBA

Imewekwa: Wednesday 23, October 2019

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umepata Mtendaji Mkuu mpya Arch. Daud W. Kondoro ambaye ameidhinishwa rasmi kuiongoza Taasisi hii akichukua nafasi ya aliyekuwa Mtendaji wake Mkuu, Arch. Elius A. Mwakalinga ambaye aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi).

Kabla ya kuidhinishwa rasmi, Arch. Kondoro alikuwa anakaimu nafasi hiyo kwa kipindi chote ambacho Arch. Mwakalinga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu.

Akiwasilisha taarifa za udhibitisho/uteuzi huo kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isaack Kamwelwe, Katibu Mkuu Mwakalinga amesema Waziri ameridhika na utendaji kazi wa TBA hivyo amemthibitisha rasmi Arch. Daud W. Kondoro kuwa Mtendaji Mkuu wa TBA.

Aidha, Katibu Mkuu Mwakalinga, ameishukuru TBA kwa kazi inayoendelea kufanya kwa kuzingatia viwango vya ubora, gharama nafuu na muda wa utekelezaji. Alipongeza kazi inayofanyika katika miradi mbalimbali mikoani huku akitaja baadhi ya miradi mikubwa kama vile nyumba za makazi Magomeni Kota na Mji wa Serikali Chamwino.

Naye Mtendaji Mkuu mpya Arch. Kondoro, ameshukuru Mamlaka ya Uteuzi kwa kuwa na imani naye na kuahidi kutekeleza majukumu aliyopewa kwa weledi na kwa uwezo wake wote. Pia ameishukuru menejimenti na wafanyakazi wote wa TBA kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichokuwa anakaimu nafasi hiyo, na kuomba ushirikiano huo uendelee ili kutekeleza malengo ya Taasisi kwa weledi na mafanikio zaidi.

Arch. Daud W. Kondoro anakuwa Mtendaji Mkuu wa tatu kushika wadhifa huo tangu TBA ilipoanzishwa mwaka 2002.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania