• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

WANANCHI WAKARIBISHWA KUTEMBELEA BANDA LA TBA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.

Imewekwa: Friday 21, June 2024

WANANCHI WAKARIBISHWA KUTEMBELEA BANDA LA TBA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), unashiriki maonesho ya wiki ya utumishi wa umma kwa mwaka 2024 kwa lengo la kutoa elimu juu ya huduma inazotoa.

Maonesho hayo yenye kauli mbiu inayosema kuwekeza kwa utumishi wa umma uliojikita kwa umma wa Afrika karne ya 21 iliyojumuishi na inayostawi ni safari ya mafunzo na mabadiliko ya Kiteknolojia, yanafanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma

Akizungumzia kauli mbiu ya mwaka huu, Mkurugenzi wa Huduma Saidizi TBA, Bw. Mathias Mhembe, amesema maonesho hayo yanalenga kuonesha safari ya mabadiliko katika mifumo ya Teknolojia ambayo TBA ni sehemu ya mabadiliko hayo, akitolea mfano mifumo ya Kidijitali ambayo TBA inatumia kama vile mfumo wa malipo (MUSE), mfumo ya utendaji kazi, mfumo wa mishahara na mifumo mingine ya mawasiliano ya kiofisi.

Kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBA, Bw. Mhembe ametumia nafasi hii kuwakaribisha wananchi na watumishi wote wa umma kutembelea Banda kuona kazi zinazotekelezwa na TBA.

Maonesho haya ni ya wiki nzima ambayo yatamalizika tarehe 23 Juni, 2024.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania