• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea wiki 2
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

WABUNGE WAUNGA MKONO JUHUDI ZA TBA.

Imewekwa: Tuesday 04, June 2024

Wabunge wameshauri Serikali kuendelea kuiwezesha TBA ili iweze kutekeleza mipango yake kwa ufanisi.

Wakizungumza Bungeni jijini Dodoma mara baada ya Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa kuwasilisha Bajeti ya Wizara hiyo, wamesema Serikali iendelee kuongeza fedha ili TBA iweze kujiendesha zaidi kibiashara na kuzalisha faida.

Akichangia hoja hiyo, Mbunge wa Viti maalam vijana Mhe. Amina Ali Mzee amesema TBA inajitahidi kuhakikisha kuwa wananchi na watumishi wa umma wanaishi katika makazi bora hivyo Serikali iunge mkono juhudi hizo kwa kuongeza fedha ili miradi iliyopangwa kutekelezwa ikamilike na kuanzisha miradi mingine.

"Nitoe wito kwa wananchi na Taasisi za Serikali zinazodaiwa na TBA ziweze kulipa madeni yao" amesisitiza Mhe. Amina.

Mbunge mwingine, Bi. Saada Hussein ambaye ni mbunge wa viti maalum Pemba amesema, TBA wanafanya kazi nzuri hivyo wanatakiwa kuwezeshwa zaidi ili kukamilisha miradi yake.

"Mhe. Spika wapo pia wabunge na wananchi wanaodaiwa na shirika hili la TBA, hivyo linashindwa kujiendesha vizuri, tunaomba wale wote wanaodaiwa waweze kulipa kodi ya pango hizo" anasema Mhe. Saada.

Naye mbunge wa Ilemela Dkt. Angeline Mabula ametoa rai kwa TBA kuendelea kuwekeza zaidi katika miradi ya ubia, akitolea mfano mkoa wa Mwanza ambao una fursa nyingi za uwekezaji zikiwemo kumbi za mikutano, hoteli na nyumba za makazi.

Hivi karibuni TBA, imefanya marekebisho ya sheria ya kuanzishwa kwake ambayo sasa inaruhusu TBA kuanza kutekeleza miradi ya ubia kwa kushirikiana na Sekta binafsi.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania