• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

MHE. DKT. ANGELINE MABULA ATEMBELEA BANDA TBA KATIKA MAONESHO YA NANENANE MKOANI SIMIYU

Imewekwa: Saturday 08, August 2020

Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Angeline Mabula (Mb) ametembelea banda la Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika maonesho ya nanenane yanayoendelea kitaifa katika viwanja vya Nyakabindi Mkoani Simiyu.

Mhe. Dkt. Mabula amesema TBA ni taasisi kongwe hivyo bado itaendelea kutegemewa na Serikali katika kusanifu, kushauri na kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo itakuwa na tija kwa wananchi na taifa kwa ujumla.

Kwa upande mwingine, Mhe. Dkt. Mabula amefurahishwa na mradi unaosimamiwa na TBA wa Ujenzi wa soko la kisasa la mnada wa mifugo unaoendelea eneo la Buzilayombo, wilayani Chato, Mkoani Geita. Mhe. Dkt. Mabula amesema kukamilika kwa mradi huo kutatatua changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufungua soko rasmi la mifugo na kuongeza kipato kwa wananchi na Serikali kwa ujumla. Vile vile ametoa rai kwa TBA kuendelea kujiimarisha zaidi kwa kuongeza jitihada zaidi katika kutekeleza majukumu yake.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania