• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • PROF. MBARAWA AIPONGEZA TBA UFUNGUZI WA MAJENGO YA KISASA DAR ES SALAAM

    tokea siku 2
  • PAC YATEMBELEA MRADI WA TEMEKE KOTA

    tokea siku 3
  • KAMATI YA BUNGE YAITAKA WIZARA YA UJENZI KUISAIDIA TBA.

    tokea wiki 1
  • BODI YA USHAURI YA TBA YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA TEMEKE KOTA.

    tokea wiki 2

Latest Press Release

MHE. KASEKENYA ARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA WATUMISHI WA UMMA MAGOMENI.

Imewekwa: Wednesday 18, January 2023

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya leo januari 10, 2023 amefanya ziara ya Kutembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi kwa ajili ya Watumishi wa Umma katika eneo la Magomeni Kota, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza baada ya kukagua mradi huo Mhe. Kasekenya amesema utekelezaji wa mradi huo ni kwa ajili ya kutatua changamoto ya makazi.

" ujenzi huu ni kwa ajili ya kutatua changamoto ya makazi na ambapo kwa matarajio katika eneo hili kutajengwa majengo matato (5) ya ghorofa nane".

Pia Mhe. Kasekenya amepongeza ujenzi wa mradi huo.

" nimelitembelea jengo ni zuri na lina miundombinu ya kisasa, jengo hili litakuwa la ghorofa 8 ambapo kila ghorofa litachukua kaya mbili. Hivyo nipende kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali" amesema Mhe. Kasekenya.

Aidha, Mhe. Kasekenya Ametoa wito kwa TBA kuendelea kuzingatia gharama za ujenzi ili kuendana na mahitaji husika.

Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro ameahidi kufanyia kazi maelekezo yalitolewa na Mhe. Kasekenya.

" tumepokea maelekezo ya Mhe. Naibu Waziri na pia ikumbukwe kuwa gharama za matumizi ya ujenzi zimekuwa zikihakikiwa na Wizara ya Ujenzi na ni utaratibu wa kawaida ambao unafanyika siku zote."

Mradi wa ujenzi wa Nyumba za makazi kwa ajili ya Watumishi wa Umma awamu ya pili katika Eneo la Magomeni Kota umefikia Asilimia 96 ambapo TBA inatekeleza mradi huo kama Mkandarasi na Mshauri Elekezi.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2023 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania