• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

MPANGO WA MANUNUZI UNA MCHANGO MKUBWA KWA MAENDELEO YA WAKALA" - MTENDAJI MKUU TBA.

Imewekwa: Thursday 20, June 2024

Imeelezwa kuwa Mpango wa manunuzi ni nyenzo muhimu katika kutekeleza kazi za manunuzi za Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).

Hayo yamebainishwa na Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro alipokuwa anafungua kikao kazi cha maafisa manunuzi wa TBA ambao wako jijini Dodoma kuandaa mpango wa manunuzi wa TBA wa mwaka 2024/25.

Kondoro amesisitiza kuwa, kikao kazi hicho ni muhimu katika kujadili kwa uwazi mpango huo kwa lengo la kufanikisha shughuli ya manunuzi kwa weledi na ufanisi mkubwa.

"Mpango wa manunuzi huu mtakaojadili ni Dira ambayo itasaidia kuleta ufanisi mzuri wa kazi za manunuzi za Wakala"

Awali akimkaribisha Mtendaji Mkuu, Mkurugenzi wa Huduma Saidizi (DBS), Bw. Mathias Mhembe ametaja kuwa asilimia zaidi ya 70 ya Bajeti ya Taasisi ni Manunuzi hivyo mpango huu, utaweka Dira ya jinsi ya kufanya manunuzi kwa weledi na kwa kuzingatia sheria.

Jumla ya washiriki 53 wanahudhulia Kikao kazi hicho ambacho kinafanyika katika ukumbi wa TBA Dodoma

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania