• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

MTENDAJI MKUU AFUNGA KIKAO KAZI CHA WAHASIBU - TBA

Imewekwa: Friday 23, September 2022

Takribani Wahasibu hamsini na tisa (59) kutoka katika ofisi zote za Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kote nchini wameshiriki kikao kazi kilichofanyika kwa muda wa siku tatu kuanzia Septemba 21- 23, 2022 katika ukumbi wa mikutano uliopo kwenye ofisi za Meneja wa TBA mkoa wa Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kufunga kikao kazi hicho, Mtendaji Mkuu TBA Arch. Daud Kondoro amewapongeza washiriki wote kwa kushiriki ipasavyo katika kikao kazi hicho na kuwaasa wahasibu wote kusimamia matumizi mazuri ya fedha za serikali hali itakayosaidia kuipunguzia serikali hasara sambamba na kusimamia vyema miradi yote inayotekelezwa na Wakala kwa manufaa ya taifa kwa ujumla. Vile vile Mtendaji Mkuu amewataka wahasibu hao kuishauri vyema Menejimenti ya TBA na kuhakikisha kuwa wanashirikiana vyema ikiwa ni pamoja na kutoa mrejesho, jambo litakalosaidia kutambua ni kwa kiasi gani malengo waliyojiwekea yamefikiwa.

Akizungumza kwa niaba ya washiriki hao, Mwenyekiti wa kikao kazi hicho CPA Selemani Mbuse, amesema mafunzo waliyoyapata katika kikao kazi hicho, yatawasaidia kuandaa taarifa nzuri za fedha zenye viwango vya kimataifa na zinazokidhi vigezo vya kimataifa na kwamba mafunzo hayo yaendelee kwani yanasaidia kuwajengea uwezo na kuwakumbusha wahasibu sheria, kanuni, na miongozo ya ndani na kimataifa kwenye kufunga hesabu pamoja na kufanya kazi kwa kuzingatia maboresho ya mifumo mbalimbali ya fedha za serikali.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania