• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

NAWAPONGEZA TBA KWA KUENDELEA KUWA WABUNIFU - RC SENYAMULE.

Imewekwa: Friday 15, July 2022

“Nawapongeza sana TBA kwa mapinduzi makubwa ambayo tunayaona juu yenu mmekuwa ni wabunifu lakini mmejua kubadilika kutokana na mahitaji, sasa hivi mmeaminiwa sana na serikali, mmepewa miradi mikubwa sana lakini hakuna mliokwama kila mradi unaenda kisasa”.

Ndivyo anavyoanza kueleza Mhe. Rosemary Senyamule, Mkuu wa Mkoa wa Geita baada ya kutembelea Banda la TBA. Akionekana mwenye uso wa tabasamu uliojaa furaha, anavutiwa na mapinduzi yanayofanywa na TBA kila uchao upande wa ubunifu wa majengo na jinsi inavyotekeleza miradi yake kwa weledi.

Mama huyo mchapa kazi hakusita kuendelea kutoa yake ya moyoni kuhusu majengo yanayobuniwa na TBA kuwa ni ya kisasa na yanaishi kwa muda mrefu.

“Sisi kama nchi tunajivunia kuwa nanyi tunaona kabisa kuwa TBA iko tayari na uwezo wenu kwa sasa huenda si tu wa kufanya kazi ndani ya nchi huenda hata nje ya nchi mna uwezo wa kufanya” anasisitiza Mhe. Senyamule.

Katika mkoa wa Geita TBA inatekeleza miradi kadhaa ikiwemo ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda, Chato, hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Jengo la Ofisi ya mkuu wa mkoa, Tanesco, soko la mnada wa mifugo, nk.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania