• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

RAIS DKT. SAMIA AZINDUA RASMI IKULU YA CHAMWINO.

Imewekwa: Monday 22, May 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi jengo la Ofisi ya Rais, Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma ambayo imefanyiwa ubunifu na ujenzi wake kusimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).

Akizungumza katika Hafla ya uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu hiyo, Dkt. Samia amesema, utekelezaji wa mradi huo ni matokeo ya dhamira kuu ya Serikali ya kuhamia Dodoma.

Rais Dkt. Samia amebainisha kuwa uamuzi wa Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ulifikiwa katika Mkutano Mkuu wa 16 wa TANU uliofanyika mwaka 1973 ambapo utekelezaji wake ulianza kufanyika kwa hatua na mwaka 2016 ulianza mpango wa uendelezaji na upanuzi wa Ikulu ya Chamwino kwa kuongeza eneo kutoka ekari 66 hadi 8473.

Aidha, Mhe. Dkt. Samia amepongezaWakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa Ubunifu na Usimamizi mzuri wa ujenzi wa jengo hilo mpaka kukamilika.

"Nawapongeza Wakala wa Majengo TBA, kwa ubunifu na usimamizi mzuri wa ujenzi huu" amesisitiza Rais Samia.

Kwa upande wake Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi amemshukuru Rais Dkt. Samia kwa kutenga eneo la ujenzi wa Ofisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) hapa Dodoma pamoja na kutoa ofisi kwa ajili ya Rais wa Zanzibar ndani ya Ikulu mpya ya Chamwino.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi,Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daudi Kondoro amesema, usanifu wa jengo la Ikulu ya Chamwino unatokana na jengo la Ikulu ya Magogoni lililopo mkoani Dar es Salaam.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania