• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

MPANGO WA UNUNUZI KUWEKA MALENGO NA MWELEKEO WA MANUNUZI - MTENDAJI MKUU WA TBA.

Imewekwa: Thursday 08, June 2023

Mpango wa Ununuzi unaoandaliwa utakuwa si tu chachu ya utekelezaji wa majukumu ya TBA kwa viwango, ubora na wakati unaostahili bali utaweka malengo na mwelekeo wa manunuzi ya Wakala kwa mwaka wa fedha 2023/24 na hivyo kufanya maboresho makubwa na kuondoa mapungufu yaliyojitokeza huko nyuma. Hayo yamesemwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Arch. Daud Kondoro wakati akifungua Kikao Kazi cha Uandaaji wa Mpango wa Ununuzi wa TBA kwa mwaka 2023/24 kinachofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper jijini Dodoma.

Pia Arch. Kondoro ameainisha kuwa Mpango wa Ununuzi ni kitendea kazi muhimu ambacho kitahakikisha kuwa utekelezaji wa shughuli za Ununuzi wa Kandarasi, Huduma na Vifaa kwa ajili ya TBA unakamilika kwa muda uliopangwa na kwa kuzingatia Sheria na Kanuni za Ununuzi wa Umma.

Arch. Kondoro amesema anamatarajio makubwa kuwa Timu itaandaa Mpango wa Ununuzi utakaotekelezeka hivyo kuwezesha kufikia malengo ya Wakala na Serikali kwa ujumla. “Ni kazi ya Timu sasa kuhakikisha kuwa Mpango wa Ununuzi utakaoandaliwa unaenda kutoa mchango wa kutosha katika kuufanya Wakala kufikia maono ili kuchangia kikamilifu Maendeleo ya Taifa” amesema Arch. Kondoro.

Awali akimkaribisha Mtendaji Mkuu, Meneja wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi Bibi Mariam Kazoba ameeleza kuwa kazi ya uandaaji wa mpango wa Ununuzi wa mwaka 2023/24 itafanyika kwa njia shirikishi ambapo kila Idara, Kitengo, Sehemu na Kanda itaainisha mahitaji yake na kubainisha kiasi cha fedha kitakachotumika kutekeleza ununuzi wa mahitaji hayo kwa kuzingatia mpango na bajeti ya TBA ya mwaka 2023/24 ili kuandaa Mpango wa Ununuzi ulio bora na utakaotekelezeka na hatimaye kufikia malengo yaliyowekwa.

PROCUREMENT PLAN SETTING GOALS AND PURCHASING DIRECTION - TBA CHIEF EXECUTIVE.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania