• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

Watumishi wa Umma Mkoani Mbeya wavutiwa na Mradi wa Nyumba Bunju

Imewekwa: Wednesday 24, October 2018

Watumishi wa Taasisi mbalimbali za Serikali mkoani Mbeya, wamevutiwa na Mradi wa nyumba za makazi – Bunju unaotekelezwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Watumishi hao wameonyesha nia ya kuzinunua nyumba hizo baada ya uwasilishwaji uliofanywa na TBA katika Taasisi zao.

Wakizungumzia katika Mkutano wa uwasilishwaji wa Mradi huo wamesema, nyumba hizo zimejengwa kwa kiwango ambacho kinakidhi mahitaji ya watumishi wa umma hivyo wameshauri mradi huo pia ufanyike katika mikoa mingine ya Tanzania ukiwemo mkoa wa Mbeya ili watumishi wengi wapate fursa ya kununua nyumba hizo ambazo bora na Bei nafuu.

Katika Mkutano huo, aina tofauti za nyumba ziliwasilishwa, Bei na utaratibu wa kununua nyumba hizo. Miongoni mwa Taasisi zilizoshiriki uwasilishwaji huo ni Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Shirika la Bima la Taifa (NIC), Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na Wakala wa Afya Mahala pa Kazi (OSHA).

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania