• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

TBA YAENDELEA KURUDISHA KWA JAMII.

Imewekwa: Monday 29, May 2023

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umemkabidhi Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vigaeni Bi. Salama Buhanga ofisi ambayo imefanyiwa ukarabati mkubwa kama sehemu ya kurudisha kwa jamii.

Akizungumza katika Hafla fupi ya kukabidhi ofisi hiyo,Kaimu Meneja wa TBA mkoa wa Dar es Salaam Arch. Bernad Mayemba kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TBA Arch. Daud Kondoro ameishukuru serikali ya mtaa wa vigaeni kwa ushirikiano wanaoutoa katika kipindi chote ambacho TBA inaendelea kutekeleza miradi yake katika mtaa huo ambao umewawezesha kutekeleza majukumu yao kwa urahisi.

Akizungumzia ukarabati uliofanyika katika ofisi hiyo Arch. Mayemba amesema umejumuisha kupaka rangi, kuweka gymsum board, aluminium, grills, paving blocks, tiles, ukarabati kwenye paa pamoja na uwekaji wa feni na taa ambao umegharimu takribani milioni tisa (9).

Naye Bi. Salama ameushukuru uongozi wa TBA kwa ukarabati walioufanya ambao umesaidia kutatua changamoto iliyokuwa ikiwakabili ya kuvuja kwa ofisi wakati wa mvua ambao ulikuwa ukipelekea mazingira ya kazi kwa watendaji wa ofisi hiyo kutokuwa rafiki.

Aidha, akizungumza baada ya makabidhiano hayo mwakilishi wa Diwani wa Kata ya Ndugumbi Bw. Acleus Mshumbushi amesema TBA imeacha alama kwa viongozi na wakazi wa Vigaeni kwa kufanya ukarabati wa ofisi hiyo.

Katika kutekeleza majukumu yake TBA imeendelea kurudisha kwa jamii ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam imeshafanya ukarabati waKituo cha Afya cha Magomeni pamoja na kujenga vyoo na kukarabati ofisi za Walimuwa Shule ya Sekondari Juhudi iliyopo Gongolamboto Wilaya ya Ilala.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania