• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

TBA KUANZA AWAMU YA PILI YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA

Imewekwa: Thursday 30, April 2020

TBA KUANZA AWAMU YA PILI YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MBEYA

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeanza awamu ya pili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya. Awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa msingi pamoja na kusimamisha nguzo wa majengo. Awamu hii ya pili ni muendelezo wa majengo haya mawili makubwa ya ghorofa yaliyosimama kwa takribani miaka mitatu kwa kukosa fedha.

Awali mradi huu ulikua chini ya usimamizi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ambapo kwa sasa utasimamiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Ujenzi huu utajumuisha jengo la upasuaji na utakasaji vifaa (CSSD) pamoja na jengo la wodi la upasuaji. Kukamilika kwa ujenzi huu kutaboresha utoaji wa huduma hizi ambazo hazina miundombinu hii kwa sasa. Wizara imeshasaini mkataba na kwa sasa maombi ya fedha pamoja na nyaraka zote muhimu ya kuanza ujenzi yamewasilishwa Hazina kwa utekelezaji.

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa mwaka 2002 kwa lengo la kusimamia miliki za Serikali.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania