• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • PROF. MBARAWA AIPONGEZA TBA UFUNGUZI WA MAJENGO YA KISASA DAR ES SALAAM

    tokea siku 2
  • PAC YATEMBELEA MRADI WA TEMEKE KOTA

    tokea siku 3
  • KAMATI YA BUNGE YAITAKA WIZARA YA UJENZI KUISAIDIA TBA.

    tokea wiki 1
  • BODI YA USHAURI YA TBA YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA TEMEKE KOTA.

    tokea wiki 2

Latest Press Release

TBA YAKABIDHI MAJENGO YA OFISI TANESCO MKOA WA GEITA

Imewekwa: Wednesday 18, January 2023

Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Imeendelea kuandika historia katika mkoa wa Geita kwa kutekeleza miradi mikubwa ya Ujenzi inayopeleka huduma kwa wananchi ambapo tarehe 11 Januari 2023 imekabiidhi Jengo la ofisi ya Tanesco mkoa wa Geita.

Akipokea funguo kuashiria kukabidhiwa Kwa jengo hilo, Meneja wa Tanesco mkoa wa Geita, Bi. Grace Mtungi alisema “Kwa kweli tumefurahi sana kupata jengo hili lenye viwango vya hali ya juu tena kwa wakati, lilikuwa tamanio letu la muda mrefu tuwe na jengo kubwa hivi kutokana na ufinyu wa jengo lililokuwa likitumika kabla, Lakini vilevile itatusaidia kupunguza gharama tulizokuwa tukizitumia kwa mwaka kiasi cha shilingi milioni ishirini na nne (24) kama pango kwa jengo la ofisi. Lakini sasa Maafisa wa Tanesco wataweza kuwahudumia wateja wetu katika hali nzuri ya usikivu ambao tunaamini hata wateja wetu waliutamani Kwa muda mrefu”. Vilevile Bi.Grace akatumia nafasi hiyo kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi katika kufanikisha mradi huo mkubwa na mingine mingi mikubwa ambayo itafanikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika na kuchangia maendeleo ya mkoa wetu, lakini kwa namna ya kipekee niwashukuru Wakala wa Majengo kwa kutupa ushirikiano mkubwa hadi kufanikisha kukamilika kwa mradi wa Ujenzi wa Majengo yetu ya Tanesco hapa Mkoani Geita na kule Wilayani Chato.

Akizungumza Kwa niaba ya Wasimamizi na washauri wa mradi huo uliokabidhiwa Arch. Godfrey Mwakabole, amesema TBA ipo kuhakikisha inazingatia ubora na ujenzi wenye tija ambao unatufanya kuwa tofauti hasa linapokuja suala la kusimamia ubora lakini vilevile tunajitahidi kukamilisha miradi yetu ndani ya muda unaokuwa umepangwa.

Wakala wa Majengo Tanzania licha ya Ujenzi wa Ofisi za Tanesco katika mkoa Geita, lakini pia umeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika sekta mbalimbali kama vile Utekelezaji wa mradi mkubwa wa Hospital ya Rufaa ya Kanda Chato.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2023 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania