• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

Uzinduzi wa Mji wa Serikali Dodoma

Imewekwa: Monday 15, April 2019

Mji wa Serikali ambao ujenzi wake umesimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umezinduliwa rasmi Aprili 13, 2019 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ambaye amepongeza Taasisi zilizoshiriki kufanikisha ujenzi huo.

Akitoa maelezo kwa Mhe. Rais kuhusu Mradi huo, Kaimu Mtendaji Mkuu wa TBA Daudi Kondolo, alisema Ujenzi wa Mradi huo hadi kukamilika kwake umezingatia ubora kwa kuweka Miundombinu yote inayostahili kwa ikiwemo pia ya watu wenye ulemavu.

Aidha Mtendaji Kondolo amebainisha kuwa Majengo yote yaliyojengwa katika Mji huo yako imara na yanakidhi viwango vinavyotakiwa.

Katika Mradi huo, TBA ilipewa jukumu la ubunifu wa majengo pamoja na kusimamia ujenzi huo kama Mshauri elekezi kwa kusimamia Wakandarasi wote walioshiriki ujenzi wa Mji huo.

Pamoja na kusimamia pia TBA imeshiriki kujenga Jengo la Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora kama moja ya Wakandarasi, sehemu ambayo uzinduzi huo ulifanyika.

Mambo yaliyozingatiwa katika Ubunifu wa Majengo hayo ni pamoja na mahitaji ya Walemavu, matumizi makubwa ya mwanga asilia katika Jengo, muonekano wa kisasa wa Jengo, mahusiano baina ya Ofisi moja na nyingine, ukubwa wa nafasi, upepo asilia katika jengo, usalama wa Jengo na watumiaji kama uwepo wa Vizima Moto na Vifaa vya kutambua uwepo wa moto na Maegesho ya magari kwa Wakuu wa Wizara, Watumishi na Wageni

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania