• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

WAFANYAKAZI TBA WAFURAHIA ONGEZEKO LA MSHAHARA.

Imewekwa: Wednesday 18, May 2022

Wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wamempongeza na kumshukuru Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutimiza ombi la wafanyakazi la kuongeza mshahara na kutimiza ahadi aliyoitoa wakati wa sherehe za siku ya wafanyakazi zilizofanyika Kitaifa katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma kwa kuongeza mshahara kwa asilimia 23.3.

Katika sherehe hizo Rais Samia, aliahidi kuongeza mshahara kwa wafanyakazi na kuwataka kutimiza wajibu wao kwa kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza malengo ya Taasisi zao.

Bi. Magreth Ndemasi ambaye ni Mkadiriaji Majenzi (QS) amesema anamshukuru sana Mhe. Rais Samia kwa kusikiliza na kujibu kiu yao ambayo waliisubiri kwa muda mrefu.

“Binafsi namshukuru sana Mama kwa kusikia kilio chetu na ongezeko hili limetusaidia sana kutokana na hali ya maisha kwa sasa kupanda, bei ya bidhaa imepanda, hivyo nyongeza hii itasaidia sana kupunguza changamoto kadhaa. Niwaombe sana wafanyabiashara wasitumie kigezo hiki kupandisha kiholela bei za bidhaa”, alisema Magreth.

Naye Bi. Inocensia Ngonde ambaye pia ni Mkadiriaji Majenzi (QS) ameshukuru na kubainisha kwamba ni jambo ambalo wafanyakazi walilisubiri kwa muda mrefu.

“Sisi kama wafanyakazi wa Umma tunamuahidi Mhe.Rais tutafanya kazi kwa bidii na weledi mkubwa ili nchi yetu iendelee kupata tija na kuinuka kiuchumi”, amebainisha Bi. Inocensia.

Kwa upande wake Mhandisi Athanas Mussa amefafanua kwamba kwa kipindi cha miaka 5 hadi 6 hakukuwa na ongezeko lolote la mshahara, hivyo Rais Samia amesikia kilio cha wafanyakazi na kutekeleza ahadi yake.

Ongezeko la mshahara ni motisha kwa wafanyakazi wa Umma ambao wameahidi kuongeza juhudi katika utendaji wao wa kazi. Nao, wamewataka wafanyabiashara wasitumie fursa hii kama kigezo cha kupandisha bei za bidhaa.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania