• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea miezi 2
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea miezi 2
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea miezi 2

Latest Press Release

WAZIRI MHAGAMA AIPONGEZA TBA

Imewekwa: Tuesday 05, April 2022

Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameupongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa ubunifu mzuri wa majengo baada ya kutembelea na kukagua Jengo la Makao makuu ya Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma linalojengwa na TBA jijini Dodoma

“Nimeshuhudia ubunifu wa jengo zuri na lenye kuvutia, nina uhakika jengo hili likikamilika litakuwa bora na lenye kupendezesha mazingira ya eneo hili.” Ameeleza Waziri Jenista.

Sambamba na jengo hilo pia TBA imebuni majengo ya wizara mbalimbali yanayojengwa katika mji wa Serikali Mtumba, likiwemo jengo la Wizara ya Utumishi ambalo pia imebuni na inajenga yenyewe.

Awali akitoa taarifa za ujenzi huo kwa Waziri Mhagama, Meneja Sehemu ya Ujenzi TBA, Mhandisi Alinanuswe Mwakiluma amebainisha kuwa Mradi huo umetoa fursa kwa vijana wa Kitanzania kutoka vyuoni kuja kujifunza kwa vitendo na pia umezalisha ajira nyingi kwa watanzania hususani wakazi wa Dodoma ambao ni mafundi, vibarua, Baba na Mama lishe, machinga, waendesha bodaboda na kuwezesha kuongeza la pato lao.

Aidha, Mhe. Jenista Mhagama ameipongeza TBA kwa ubora wa mradi huo sambamba na ile inayoendelea katika mji wa Serikali Mtumba huku akibainisha kwamba miradi hii imechangia kwa kiasi kikubwa kuibuka kwa viwanda vingi vya Kitanzania vinavyozalisha marighafi za ujenzi.

“Nina uhakika miradi hii ikikamilika tutakuwa na wataalamu wengi pia viwanda navyo vitaongezeka” Amesisitiza Waziri Jenista.

Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania